Kiungo wa Tanzania, Muzamil Yassin (kulia) akimtoka mchezaji wa Angola katika mchezo wa Kundi A Kombe la COSAFA Castle jana Uwanja wa Uwanja wa Royal Bafokeng mjini Rusternburg, Afrika Kusini. Timu zilitoka sare ya 0-0
Winga wa Taifa Stars, Shiza Kichuya (kushoto) akipambana na mchezaji wa Angola
Beki wa Taifa Stars, Erasto Nyoni (kulia) akimtazama mchezaji wa Angola wakati anapiga mpira


0 maoni:
Chapisha Maoni