Alexis Sanchez (kulia) akimkimbilia Arturo Vidal kumpongeza baada ya kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Sanchez ndiye aliyetoa krosi ya bao hilo na akaseti na la pili pia lililofungwa na Eduardo Vargas dakika ya 90 na ushei baada ya kutokea benchi dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Edson Puch PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guardiola credits 'dry pitch' for Man City win
-
Manchester City manager Pep Guardiola believes the City Ground's 'dry
pitch' helped his side in their 2-0 win against Nottingham Forest in the
Premier League.
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment