Alexis Sanchez (kulia) akimkimbilia Arturo Vidal kumpongeza baada ya kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Sanchez ndiye aliyetoa krosi ya bao hilo na akaseti na la pili pia lililofungwa na Eduardo Vargas dakika ya 90 na ushei baada ya kutokea benchi dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Edson Puch PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley vs Manchester City - Premier League LIVE: Latest score and updates
as Erling Haaland opens the scoring just FIVE minutes into Turf Moor clash
as Pep Guardiola's side look to leapfrog Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Burnley host Manchester City at Turf Moor.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment