Kiungo chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Smeed hits scintillating first century of The Hundred as he announces himself on the big stage
-
The 20-year-old's scintillating 101 not out from 50 balls included six
sixes and eight fours as he helped his side to 176/4 from their 100 balls,
before Sp...
Dakika 20 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni