Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo ameposti picha hii ya watoto wake pacha, Mateo na Eva waliozaliwa na mama ambaye hajatajwa baada ya kukutana nao kwa mara ya kwanza. Mchezaji huyo wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 32 ambaye Jumatano timu ya taifa, Ureno ilitolewa na Chile kwa penalti 3-0 baada ya sare ya 0-0 kwenye Nusu Fainali ya Kombe la Mabara nchini Urusi, sasa anafikisha watoto watatu baada ya Cristiano Jnr wa kwanza mwenye umri wa miaka saba sasa, lakini naye mama yake hajulikani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment