Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie O'Hara WALKS OFF his radio show set as Tottenham fans are
relentlessly mocked while plunging towards Premier League relegation with a
string of memes and jokes
-
Tottenham have been ruthlessly and gleefully mocked online, with talkSPORT
presenter and ex-Spurs man Jamie O'Hara savagely feeling the heat.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment