Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dortmund's Jadon Sancho Wows Fans in UCL Semifinal Leg 1 Win vs. Kylian
Mbappé, PSG
-
Paris Saint-Germain's wait for a Champions League title may drag on for yet
another season. The newly crowned Ligue 1 champions fell 1-0 to Borussia
Dortmund…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment