Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment