Wachezaji wa Ujerumani wakipeana mikono na wachezaji wa Australia baada ya ushindi wa 3-2 katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara jana Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Lars Stindl dakika ya tano, Julian Draxler dakika ya 44 kwa penalti na Leon Goretzka dakika ya 48 wakati ya Australia yalifungwa na Tom Rogic dakika ya 41 na Tomi Juric dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
An eight-hour delay, speaking fluent Spanish, qualities that impressed new
boss and club's cunning plan to bag Marcus Rashford on the cheap: How
Barcelona granted Anthony Gordon's childhood wish
-
After spending most of the day in a hotel waiting for bureaucratic snags to
be ironed out, Anthony Gordon became Barcelona's sixth most-expensive
signing e...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment