Leon Goretzka (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za sita na nane katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Mabara leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao mengine ya mabingwa hao wa dunia yamefungwa na Timo Werner dakika ya 59 na Amin Younes dakika ya 90 na ushei, wakati la Mexico limefungwa na Marco Fabian dakika ya 89 na sasa Ujerumani itakutana na Chile katika fainali Julai 2 Uwanja wa Krestovsky mjini Saint Petersburg, Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It's 50 days until the World Cup - these are the 50 new stars you HAVEN'T
heard of that you need to know about before they light up this summer's
tournament
-
To give you the expert lowdown before the action even gets going, TOM
COLLOMOSSE has picked out the 50 names you may not have heard of - but soon
will.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment