Timo Werner (kulia), mfungaji wa mabao mawili ya Ujerumani dakika za 66 na 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Cameroon leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara akimiliki mpira dhidi ya dhidi ya beki wa Simba Wasiofungika, Adolphe Teikeu (kushoto). Bao lingine la Ujerumani limefungwa na Kerem Demirbay dakika ya 48, wakati la Cameroon limefungwa na Vincent Aboubakar. Kwa matokeo hayo, Cameroon inatolewa kwenye mashindano, huku Ujerumani ikienda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie O'Hara WALKS OFF his radio show set as Tottenham fans are
relentlessly mocked while plunging towards Premier League relegation with a
string of memes and jokes
-
Tottenham have been ruthlessly and gleefully mocked online, with talkSPORT
presenter and ex-Spurs man Jamie O'Hara savagely feeling the heat.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment