Timo Werner (kulia), mfungaji wa mabao mawili ya Ujerumani dakika za 66 na 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Cameroon leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara akimiliki mpira dhidi ya dhidi ya beki wa Simba Wasiofungika, Adolphe Teikeu (kushoto). Bao lingine la Ujerumani limefungwa na Kerem Demirbay dakika ya 48, wakati la Cameroon limefungwa na Vincent Aboubakar. Kwa matokeo hayo, Cameroon inatolewa kwenye mashindano, huku Ujerumani ikienda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It's 50 days until the World Cup - these are the 50 new stars you HAVEN'T
heard of that you need to know about before they light up this summer's
tournament
-
To give you the expert lowdown before the action even gets going, TOM
COLLOMOSSE has picked out the 50 names you may not have heard of - but soon
will.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment