Timo Werner (kulia), mfungaji wa mabao mawili ya Ujerumani dakika za 66 na 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Cameroon leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara akimiliki mpira dhidi ya dhidi ya beki wa Simba Wasiofungika, Adolphe Teikeu (kushoto). Bao lingine la Ujerumani limefungwa na Kerem Demirbay dakika ya 48, wakati la Cameroon limefungwa na Vincent Aboubakar. Kwa matokeo hayo, Cameroon inatolewa kwenye mashindano, huku Ujerumani ikienda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment