Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la kwanza kwa penalti dakika ya 33 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya New Zealand baada ya Danilo kuchewa rafu usiku wa Jumamosi Uwanja wa Krestovskyi mjini St Petersburg katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mabara. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 37, Andre Silva dakika ya 80 na Luis Nani dakika ya 90 na ushei. Matokeo hayo yanaifanya Ureno ifikishe pointi saba na kumalizana kileleni sawa na Mexico iliyomaliza na pointi saba pia baada ya kuifunga Urusi 2-1 na zote zinakwenda Nusu Fainali. Wenyeji Urusi wameungana na New Zealand kupanda jukwaani kitazama mechi za kumalizia michuano ya 2017 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie O'Hara WALKS OFF his radio show set as Tottenham fans are
relentlessly mocked while plunging towards Premier League relegation with a
string of memes and jokes
-
Tottenham have been ruthlessly and gleefully mocked online, with talkSPORT
presenter and ex-Spurs man Jamie O'Hara savagely feeling the heat.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment