Bondia Mmarekani, Andre Ward akiondoka huku akishangilia baada ya refa, Tony Weeks kusimamisha pambano kati yake na Sergey Kovalev dakika ya pili, sekunde ya 29 raundi ya nane mjini Mandalay Bay usiku wa jana. Hata hivyo, refa alilalamikiwa kumaliza pambano hilo la uzito wa Light Heavy haraka na kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) Ward, huku Mrusi Kovalev akiwa ana uwezo wa kuendelea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
VIDEO: Coach Bashir Hayford interrupts league match, sits in middle of
field in protest
-
The Ghana Premier League match between Heart of Lions and Bechem United
witnessed an unprecedented disruption as Heart of Lions coach Bashir
Hayford protes...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment