Bondia Mmarekani, Andre Ward akiondoka huku akishangilia baada ya refa, Tony Weeks kusimamisha pambano kati yake na Sergey Kovalev dakika ya pili, sekunde ya 29 raundi ya nane mjini Mandalay Bay usiku wa jana. Hata hivyo, refa alilalamikiwa kumaliza pambano hilo la uzito wa Light Heavy haraka na kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) Ward, huku Mrusi Kovalev akiwa ana uwezo wa kuendelea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment