Ricardo Quaresma akishangilia na Cristiano Ronaldo aliyemsetia nafasi ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 34 katika sare ya 2-2 na Mexico kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan, Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na Cedric Soares dakika ya 86, wakati mabao ya Mexico yamefungwa na Javier Hernandez 'Chicharito' dakika ya 42 na Hector Moreno dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's ENTIRE squad 'is up for sale' - with just THREE players named
as 'off limits' - and club will listen to offers for Marcus Rashford as
they face having to sell to make big signings
-
The club's new hierarchy, led by co-owner Sir Jim Ratcliffe and incoming
CEO Omar Berrada, are prepared to be brutal with potential outgoings at the
end of...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment