Mratibu wa Singida United, Sanga Festo (kushoto) akimkabidhi jezi ya timu hiyo mshambuliaji Danny Usengimana baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na wageni hao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka Polisi ya kwao, Rwanda. Usengimana ni mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Azam Rwanda kwa misimu miwili iliyopita
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment