Mratibu wa Singida United, Sanga Festo (kushoto) akimkabidhi jezi ya timu hiyo mshambuliaji Danny Usengimana baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na wageni hao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kutoka Polisi ya kwao, Rwanda. Usengimana ni mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Azam Rwanda kwa misimu miwili iliyopita
President Tinubu’s prioritisation of the vulnerable
-
One of the enduring tests of leadership is not how a government treats the
privileged but how it responds to the needs of those at the bottom of the
soci...
14 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment