• HABARI MPYA

    Thursday, June 29, 2017

    MALINZI, AVEVA, KABURU NA MWESIGWA WAFIKISHWA MAHAKAMANI

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (wa pili kushoto) akiwa na Katibu wake, Selestine Mwesigwa (kushoto kabisa), Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Geoffrey Nyange 'Kaburu' (katikati) Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam tayari kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma mbalimbali zinazowakabili. Kulia kabisa ni Rais wa Simba, Evans Aveva ambaye naye pia anakabiliwa na tuhuma sawa na Kaburu
    Wakubwa wakiwa Mahakama ya Kisutu, ambako wamefikishwa baada ya kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)
    Mwesigwa akiongoza kuelekea mahakamani baada ya kuwasili asubuhi ya leo, huku akifuatiwa na Malinzi
    Huyu mwingine inaonekana ni Ofisa wa TAKUKURU aliyekuwa anawaongoza
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MALINZI, AVEVA, KABURU NA MWESIGWA WAFIKISHWA MAHAKAMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top