Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC addresses reasons behind WASSCE exam delays
-
WAEC has clarified that a fatal auto accident and regional security
challenges caused recent WASSCE exam delays, assuring hitch-free future
conduct.
The...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment