Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian tennis coach Wally Masur coach says Ash Barty was 'getting better' just before retirement
-
Legend Aussie tennis coach Wally Masur believes Ash Barty left the game
before reaching the peak of her powers - saying she left a few slams on the
table
Dakika 30 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni