Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment