Olivier Giroud wa Ufaransa akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za sita, 13 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 76 na Antoine Griezmann dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aw nuts! Watch moment referee gets hit in the CROTCH with the ball during
the Pacers' elimination of the Bucks
-
A referee got hit in the crotch with the ball during Thursday night's Game
6 between the Indiana Pacers and the Milwaukee Bucks. The official, Justin
Van D...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment