Olivier Giroud wa Ufaransa akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za sita, 13 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Roazhon Park mjini Rennes, Ufaransa. Mabao mengine ya Ufaransa yamefungwa na Moussa Sissoko dakika ya 76 na Antoine Griezmann dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
George Russell claims Australian Grand Prix victory after battle with
Ferrari's Charles Leclerc for first place - as Aussie F1 star Oscar Piastri
crashes out
-
JONATHAN MCEVOY IN MELBOURNE: George Russell weaved his way through a
chaotic start to the Australian Grand Prix to claim the victory that set up
his world...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment