Eden Hazard akipongezwa na Pedro na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Hazard alifunga bao la pili la Chelsea pia dakika ya 35, wakati la Man City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola fears surge on the ground in Congo over rapid spread of a rare type
-
BUNIA, Congo (AP) — Anxious healthcare workers in eastern Congo said
Wednesday they are underprotected and undertrained in a rapidly spreading
Ebola outbre...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment