Eden Hazard akipongezwa na Pedro na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Hazard alifunga bao la pili la Chelsea pia dakika ya 35, wakati la Man City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope Leo XIV Declares Artificial Intelligence a Moral Crisis in Sweeping
Manifesto
-
Pope Leo XIV has issued a major warning about artificial intelligence in
his first manifesto as pontiff. He says AI could threaten human dignity,
democracy...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment