Eden Hazard akipongezwa na Pedro na Marcos Alonso baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London. Hazard alifunga bao la pili la Chelsea pia dakika ya 35, wakati la Man City lilifungwa na Sergio Aguero dakika ya 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr opens up on agony of brother's death and being estranged
from his father ahead of huge Conor Benn fight - after refusing to let
Eddie Hearn speak at press conference
-
During the pre-fight press conference ahead of his showdown with Conor Benn
on Saturday night, both men were in bullish form but it was a moment of raw
hon...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment