Gwiji wa soka Argentina, Diego Maradona (pichani) ameingia kwenye zengwe lingine, la kufojiwa kwa saini yake na msaidizi wake wa zamani. Maradona anaelezwa kujiandaa kushitaki kampuni mbili za China, Sina na The 9 Limited, baada ya kutumia picha na jina lake kwenye soka yao 'Hot Blooded Soccer' bila ridhaa yake, . Ilidhaniwa saini ni ya mwenyewe kocha huyo wa zamani wa Argentina, lakini Maradona amesema hajawahi kusaini makubaliano hayo.
Wissa the wizard as DRC conjure up first trip to World Cup knockout stages
-
Yoane Wissa scored two goals on Saturday night in Atlanta as Democratic
Republic of Congo staged a second half rally to beat Uzbekistan 3-1 and
advance to ...
12 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment