Gwiji wa soka Argentina, Diego Maradona (pichani) ameingia kwenye zengwe lingine, la kufojiwa kwa saini yake na msaidizi wake wa zamani. Maradona anaelezwa kujiandaa kushitaki kampuni mbili za China, Sina na The 9 Limited, baada ya kutumia picha na jina lake kwenye soka yao 'Hot Blooded Soccer' bila ridhaa yake, . Ilidhaniwa saini ni ya mwenyewe kocha huyo wa zamani wa Argentina, lakini Maradona amesema hajawahi kusaini makubaliano hayo.
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
27 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment