• HABARI MPYA

    Sunday, August 19, 2012

    SUNDAY KIZITO, RAMADHAN SHAURI WAPIMA UZITO TAYARI KWA PAMBANO LAO KESHO

    Bondia Sande Kizito wa Uganda akipima Uzito leo kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa IBF Africa  litakalofanyika katika ukumbi wa Diamond Jublee kushoto ni Mpinzani wake Ramadhani Shauri Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com

    Rais wa IBF Africa Onesmo Ngowi katikati akiwa  ameshikilia mkanda wa ubingwa wa IBF Africa utakaogombaniwa na Ramadhani Shauri wa pili kushoto na Sande Kizito wa Uganda kushoto ni Katibu wa TPBC Nemes Kavishe na Rais wa TPBO Yasin Abdallah
    UBINGWA WA IBF AFRICA HADHARANI KESHO
    Ramadhani Shauri wa Tanzania kushoto na Sande Kizito wa Uganda wakitunishiana misuri leo wakati wa upimaji wa uziti picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUNDAY KIZITO, RAMADHAN SHAURI WAPIMA UZITO TAYARI KWA PAMBANO LAO KESHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top