• HABARI MPYA

    Sunday, August 19, 2012

    MAN UNITED WAMUONGEZEA MKWANJA VAN PERSIE


    Robin van Persie ataongezewa pauni Milioni 10 zaidi katika mshara wake wa pauni 250,000 kwa wiki Manchester United - kama atadumu katika klabu hiyo kumalizia mkataba wake wa miaka minne. 
    Malipo hayo yatakayoongezwa kwa mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi aliyezaliwa miaka 29 iliyopita, kwa kuishi kwake Old Trafford ndani ya mkataba wake wote wa miaka minne, ni nje ya posho ambazo atashinda mataji ya United kama Ligi Kuu, Kombe la FA, Kombe la Ligi na Ligi ya Mabingwa 
    Wengi ndani ya United, akiwemo Mtendaji Mkuu, David Gill, waliulizwa iwapo uwekezaji wa pauni milioni 64 kwa Van Persie - pamoja na uhamisho wa pauni Milioni 24 kwa mkataba wa miaka minne kama utalipa.
    Cash boost: Van Persie will earn an extra £10m during his stay at Old Trafford
    MKWANJA ZAIDI: Van Persie ataingiza pauni Milioni 10 zaidi akidumu Old Trafford


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WAMUONGEZEA MKWANJA VAN PERSIE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top