Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leah Kihimbi (kulia), akikabidhi Bendera ya Taifa kwa Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star 2016, Melisa John, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kuiwakilisha nchi katika fainali za mashindano ya Afrika zitakazofanyika Lagos nchini Nigeria Juni 11 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Ngereza.
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment