Kiungoi mshambuliaji wa FC Platinums ya Zimbabawe, Obrey Chirwa (kulia) akisaini Mkataba wa miaka miwili kujiunga na mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jioni ya leo mjini Dar es Salaam, muda mfupi tu baada ya kuwasili nchini
Mchezaji huyo wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 23 ya Zambia jina lake linatarajiwa kuongezwa katika orodha ya wachezaji wa Yanga watakaocheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho
Chirwa alisaini akisimamiwa na Wakili wa Yanga leo mjini Dar es Salaam
|
0 comments:
Post a Comment