Mshambuliaji mpya aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 75 Manchester United, Romelu Lukaku (kulia) akimpongeza mchezaji mwenzake mpya, Henrikh Mkhitaryan (kushoto) baada ya kufunga bao la nne katika ushindi wa 5-2 dhidi ya LA Galaxy asubuhi hii Uwanja wa Stubhub Center mjini Carson, California, Marekani. Lukaku alitokea benchi katika mechi hiyo ya kwanza kuichezea Man United kwenda kuchukua nafasi ya Marcus Rashford dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment