Now Arsene faces Walcott nightmare
| ANAONDOKA? Theo Walcott, naye aanza kuwarusha roho Arsenal |
THEO WALCOTT bado hajasaini
mkataba mpya Arsenal. Na kuna wasiwasi kwamba winga huyo wa kimataifa wa
England atakuwa mchezaji mwingine mwenye jina kubwa kuondoka Emirates baada ya Robin
van Persie kutimkia Manchester United.
Kocha wa Arsenal,
Wenger amesema: “Bado tunajaribu kuuongeza mkataba wake.”
Wenger amempoteza Manahodha
wake, Van Persie na Cesc Fabregas katika miezi 12 iliyopita, wakati kiungo Alex
Song yupo karibu kuhamia Barcelona kwa ada ya pauni Milioni 15.
Walcott, aliyezaliwa
miaka 23 iliyopita, amebakiza mwaka mmoja tu katika mkataba wake na Wenger amesema:
“Wakati mchezaji hataki kubaki, unamlazimisha au unamuacha aondoke.”
SOURCE: http://www.thesun.co.uk


.png)
0 comments:
Post a Comment