• HABARI MPYA

    Monday, June 06, 2016

    AMBAVYO MOHAMED EL NENY HATOMSAHAU FARID MUSSA

    Kiungo wa Arsenal ya England, Mohammed El Neny (kulia) akimsukuma kiungo wa Azam FC, Farid Mussa baada ya kulambwa chenga ya maudhi katika mchezo wa Kundi G kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Misri ya El Neny iliifunga Tanzania ya Farid mabao 2-0
     Farid Mussa alianza kwa kumfunga tela kwa kasi El Neny
    Akafika sehemu akawa kama anataka kupiga krosi
    Ghafla akamgaueza kwa chenga kali za ufundi wa enzi za Jay Jay Okocha, ndipo El Neny akafanya alichiofanya katika picha ya kwanza juu 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO MOHAMED EL NENY HATOMSAHAU FARID MUSSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top