Daktari wa tiba za Wanamichezo, Nassor Matuzya (kushoto) akimfanyia vipimo vya afya mshambuliaji mpya wa Yanga, Ibrahim Hajib Migomba leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hajib hakutokea katika kundi la awali la wachezaji wa Yanga kufanyiwa vipimo kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Matuzya hapa anampima kiungo wa timu, Eammanuel Martin
Dk Matuzya hapa anampima kiungo mwingine wa timu hiyo, Geoffrey Mwashiuya
Hapa Dk. Matuzya anazungumza na Nahodha wa timu hiyo, Nadir Haroub 'Cannavaro'
EXCLUSIVE: Blues Brothers! Mosese Tuipulotu could line up alongside Sione
for Scotland as Edinburgh swoop for 22-year-old centre
-
Scotland could feature two brothers as their centre pairing from next
season as Sione Tuipulotu's younger sibling Mosese closes in on a move to
Edinburgh R...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment