Wachezaji wa England wakishangilia na taji lao la ubingwa wa Ulaya kwa vijana chini ya umri wa miaka 19, baada ya kuifunga Ureno katika fainali jana Uwanja wa Tengiz Burjanadze mjini Gori, Georgia. Simba Wadogo walianza kufungaa dakika ya 50 kupitia kwa Easah Suliman, kabla ya Dujon Sterling kujifunga dakika ya 56 kuwapa Ureno bao la kusawazisha na Lukas Nmecha kufunga la ushindi dakika ya 68 katika mchezo ambao kiungo Tayo Edun alionyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa kwa kadi nyekundu zikiwa zimebaki dakika nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GARY KEOWN: Rangers fans are tired of big talk and very few trophies. The
likes of Dessers and Diomande need to shut up and focus on winning
-
OVER recent times, those inside Celtic have made a habit of turning the
words of their rivals at Rangers against them.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment