Feipe Anderson wa Brazil akiuchukua mpira wa juu kwa ustadi wa hali ya juu pembeni ya Mothobi Mvala wa Afrika Kusini katika mchezo wa Kundi A Olimpiki soka wanaume usiku wa jana mjini Brasilia timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Mechi nyingine za Ufunguzi Olimpiki wanaume, Iraq ilitoka 0-0 na Denmark Kundi A pia, Sweden 1-1 na Colombia Kundi B, Mexico 2-2 na Ujerumani Kundi C na Honduras 3-2 dhidi ya Algeria Kundi D PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment