Feipe Anderson wa Brazil akiuchukua mpira wa juu kwa ustadi wa hali ya juu pembeni ya Mothobi Mvala wa Afrika Kusini katika mchezo wa Kundi A Olimpiki soka wanaume usiku wa jana mjini Brasilia timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Mechi nyingine za Ufunguzi Olimpiki wanaume, Iraq ilitoka 0-0 na Denmark Kundi A pia, Sweden 1-1 na Colombia Kundi B, Mexico 2-2 na Ujerumani Kundi C na Honduras 3-2 dhidi ya Algeria Kundi D PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham legend Tony Cottee SLAMS the club's 'classless' owners over their
treatment of David Moyes... amid uncertainty around the Scotsman's future
with Hammers
-
The experienced Scot's future remains unclear and he will hold talks with
owner David Sullivan at the end of season during which a possible exit will
be de...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment