Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mtanzania Mbwana Samatta akiwapiga picha wachezaji wenzake wakati walipokuwa safarini kwenda Ireland juzi usiku kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Europa League dhidi ya wenyeji Cork City FC. Mchezo huo ulifanyika jana Genk kushinda 2-1 hivyo kufuzu kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 1-0 nyumbani
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
3 hours ago




.png)
0 comments:
Post a Comment