Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mtanzania Mbwana Samatta akiwapiga picha wachezaji wenzake wakati walipokuwa safarini kwenda Ireland juzi usiku kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Europa League dhidi ya wenyeji Cork City FC. Mchezo huo ulifanyika jana Genk kushinda 2-1 hivyo kufuzu kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 1-0 nyumbani
Clattenburg leaves referee analyst role at Forest
-
Former Premier League referee Mark Clattenburg leaves his role with
Nottingham Forest, saying his position had "become more of a hindrance than
help" to th...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment