Mshambuliaji Wayne Rooney akifanya mazoezi na Everton kwa mara ya kwanza baada ya kurejea timu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Manchester United. Everton inatarajiwa kuwasili Tanzania wiki hii kucheza na Gor Mahia ya Kenya mechi ya kirafiki Alhamisi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marcus Rashford offers worrying update as he speaks out over 'months and
months of abuse' after being booed by Man United fans - as supporters pin
the blame on YouTuber's rants
-
Marcus Rashford (left) has endured a difficult season on the pitch, failing
to match the achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign,
scor...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment