Jeff Horn (kushoto) akiugulia maumivu ya konde la Mfilipino Manny Pacquiao (kulia) katika pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo Uwanja wa Suncorp mjini Brisbane, Australia. Pacquiao ametawala pambano na kumzidi kila mwenyeji, lakini ajabu Horn amepewa ushindi na majaji wote baada ya raundi 12 (117-111, 115-113 na 115-113). Kwa matokeo hayo Pacquiao amepoteza mkanda wake wa WBO na uwezekano wa kurudiana na Mmarekni Floyd Mayweather Jnr sasa ni mdogo baada ya kupoteza pambano la saba kati ya 68, akiwa ameshinda 59 na sare mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment