Jeff Horn (kushoto) akiugulia maumivu ya konde la Mfilipino Manny Pacquiao (kulia) katika pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo Uwanja wa Suncorp mjini Brisbane, Australia. Pacquiao ametawala pambano na kumzidi kila mwenyeji, lakini ajabu Horn amepewa ushindi na majaji wote baada ya raundi 12 (117-111, 115-113 na 115-113). Kwa matokeo hayo Pacquiao amepoteza mkanda wake wa WBO na uwezekano wa kurudiana na Mmarekni Floyd Mayweather Jnr sasa ni mdogo baada ya kupoteza pambano la saba kati ya 68, akiwa ameshinda 59 na sare mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Horner is trolled on Instagram over his tribute to Red Bull
mastermind Adrian Newey, as fans blame HIM and the 'sex texts' affair for
him quitting: 'He's leaving because of you'
-
The news is the latest development in a series of events that have unfolded
since Horner (centre) was accused of 'coercive behaviour towards a female
emplo...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment