LUKAKU AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO MAN UNITED IKICHINJA 2-1
Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku akimuacha chini kipa wa Real Salt Lake, Eduardo Fernandezbaada ya kumzunguka na kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 38 Uwanja wa Rio Tinto, Sandy, Utah, Marekani katika ushindi wa 2-1. Hilo linakuwa bao la kwanza kabisa kwa Lukaku tangu ajiunge na Mashetani hao Wekundu wiki mbili zilizopita kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 75 kutoka Everton, zote za England. Bao la kwanza la United kwenye mchezo huo wa alfajiri hii limefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 29, baada ya Luis Silva kuitanguliza Real Salt Lake dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hummels und der Glaube an den Sieg im Finale
-
Sein erstes Champions-League-Tor für Borussia Dortmund seit elf Jahren
(damals zum 2:2 im Achtelfinale in Donetsk) ebnete den Weg nach Wembley.
„Ich habe s...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment