• HABARI MPYA

    Monday, July 17, 2017

    BAKAYOKO ALIVYOANZA KAZI RASMI CHELSEA LEO

    Kiungo mpya wa Chelsea, Mfaransa Tiemoue Bakayoko akiingia uwanja wa mazoezi wa timu yake hiyo mpya, Cobham kufanya mazoezi na wenzake kwa mara ya kwanza tangu asajiliwe kwa dau la Pauni Milioni 40 kutoka Monaco ya Ufaransa juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAKAYOKO ALIVYOANZA KAZI RASMI CHELSEA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top