Oscar (kushoto) akipongezwa na mwenzake baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan katika mechi ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mjini Minesota, Marekani usiku wa kuamkia leo. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Bertrand Traore, wakati la AC Milan lilifungwa na Gianluigi Donnarumma PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment