Nyota wa England na mshambuliaji wa zamani wa Sunderland, Jermain Defoe akifuta machozi wakati wa kuuaga mwili wa kipenzi chake, shabiki mdogo wa Sunderland, Bradley Lowery kanisa la Mtakatifu Joseph leo kabla ya mazishi yake, kufuatia kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi ya saratani yaliyochukua maisha yake katika umri wa miaka sita tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment