Daktari akimpima kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' huku, beki Mwinyi Hajji Mngwali akisubiri leo asubuhi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam katika zoezi la klabu hiyo kuwapima afya wachezaji wake kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Edward Bavu akimpima mshambuliaji Mrundi, Amissi Tambwe
Dk. Nassor Matuzya akimpima beki wa kulia, Juma Abdul
Beki mpya wa kati, Abdallah Haji 'Ninja' kutoka Zanzibar akipimwa urefu
Beki mwingine wa kati, Andrew Vincent 'Dante' naye alihudhuria zoezi hilo la upimaji afya
Eye of West Africa: A new landmark as China hands over ECOWAS headquarters
building
-
On 28 April 2026, China officially handed over the China-Aid Project of the
ECOWAS Headquarters building to the ECOWAS Commission in Abuja, Nigeria.
Loca...
39 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment