Daktari akimpima kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' huku, beki Mwinyi Hajji Mngwali akisubiri leo asubuhi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam katika zoezi la klabu hiyo kuwapima afya wachezaji wake kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Edward Bavu akimpima mshambuliaji Mrundi, Amissi Tambwe
Dk. Nassor Matuzya akimpima beki wa kulia, Juma Abdul
Beki mpya wa kati, Abdallah Haji 'Ninja' kutoka Zanzibar akipimwa urefu
Beki mwingine wa kati, Andrew Vincent 'Dante' naye alihudhuria zoezi hilo la upimaji afya
Stephen A. Smith makes shocking Charlie Kirk mistake that leaves ESPN
viewers stunned
-
The sports analyst has become known for his forays into the political
sphere over the past year but this week he may have gone too far as he let
it slip in...
3 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment