Daktari akimpima kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' huku, beki Mwinyi Hajji Mngwali akisubiri leo asubuhi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaaam katika zoezi la klabu hiyo kuwapima afya wachezaji wake kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya
Dk. Edward Bavu akimpima mshambuliaji Mrundi, Amissi Tambwe
Dk. Nassor Matuzya akimpima beki wa kulia, Juma Abdul
Beki mpya wa kati, Abdallah Haji 'Ninja' kutoka Zanzibar akipimwa urefu
Beki mwingine wa kati, Andrew Vincent 'Dante' naye alihudhuria zoezi hilo la upimaji afya
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment