Adrien Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la ushindi dakika ya 104 kwa penalti, ikiilaza 2-1 Mexico katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la FIFA la Mabara leo Uwanja wa Otkrytiye Arena, mjini Moskva. Luis Neto alianza kujifunga kuipatia Mexico bao la kuongoza dakika ya 54, kabla ya Pepe kuisawazishia Ureno dakika ya 90 na ushei na mchezo ukahamia kwenye dakika za nyongeza, ambako Silva akamaliza kazi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Local elections in the West Bank and part of Gaza could test public trust
-
DEIR AL-BALAH, Gaza Strip (AP) — For the first time in two decades,
Palestinians in battle-scarred Gaza are voting in local elections Saturday.
And in the ...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment