Adrien Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la ushindi dakika ya 104 kwa penalti, ikiilaza 2-1 Mexico katika mchezo wa kuwania nafasi ya tatu Kombe la FIFA la Mabara leo Uwanja wa Otkrytiye Arena, mjini Moskva. Luis Neto alianza kujifunga kuipatia Mexico bao la kuongoza dakika ya 54, kabla ya Pepe kuisawazishia Ureno dakika ya 90 na ushei na mchezo ukahamia kwenye dakika za nyongeza, ambako Silva akamaliza kazi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment