Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Zambia, Adrian Chama jana katika mchezo wa Nusu Fainali Kombe la COSAFA Castle Uwanja wa Moruleng mjini Rusternburg, Afrika Kusini. Zambia inayojulikana kwa jina la utani Chipolopolo iliifunga Taifa Stars 4-2
Nahodha na kiungo wa Tanzania, Himid Mao akimuacha kiungo wa Zambia jana
Kiungo wa Tanzania, Muzamil Yassin akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Zambia, Donashano Malama
Beki wa Zambia, Lawrence Chungu akiwa hewani kuokoa kwa kichwa dhidi ya winga wa Tanzania, Shiza Kichuya
Donashano Malama wa Zambia akiwa juu kugombea mpira na mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri
Elias Maguri wa Tanzania (kushoto) akiwania mpira na Isaac Shamujompa wa Zambia jana
Ryan Garcia calls out Conor McGregor for 'bare knuckle' fight after MMA
star told him: 'Get your head together or kill yourself'
-
Garcia failed anti-doping tests the day before and the day of his upset win
over Devin Haney last month. The 25-year-old - who also came in 3lbs
overweight...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment