Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta ameposti picha hii katika akaunti yake Instagram sambamba na maelezo; "Nina furaha mno kuwa Balozo wa watu wenye ulemavui wa ngozi Tanzania. Nipo tayari kuwalinda na kuwashawishi wengine kufanya hivyo.#Mimi ninawathamini na kuwalinda, wewe je?
Ameposti pia cheti hiki cha uteuzi wake huo kutoka cha Watu wenye Ulemavu wa Ngozi, maarufu kama Maalbino
Na kuna picha hii tena, ambayo maelezo yake ni; "HAINA KUFELI"
Buy or Sell: NFL Teams Looking to End Playoff Droughts in 2024
-
This league is drenched in parity. The result is fun. Rarely do teams go
long without being at least somewhat competitive, as free agency, the
salary cap and…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment