Mshambuliaji mpya wa Everton, Wayne Rooney (katikati) akiwa mazoezini na wenzake leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kesho
Rooney alikuwa kivutio kwenye mazoezi ya Everton leo Uwanja wa Taifa
Wayne Rooney amerejea Everton mwishoni mwa wiki baada ya kuondoka miaka 13 iliyopita kuhamia Manchester United mwaka 2004
Popote alipopita leo Wayne Rooney leo kuanzia wakati anawasili Uwanja wa Ndege alikuwa kivutio
Hapa Rooney anawaongoza wachezaji wa Everton kuingia Uwanja wa Taifa
Wachezaji wa Everton wakifanya mazoezi leo Uwanja wa Taifa
Newey lawyers negotiating early exit from Red Bull
-
Leading designer Adrian Newey is negotiating an early exit from Red Bull
that would leave him free to join another team in time for the 2026 season,
BBC Sp...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment