Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FDA OKs first new sunscreen ingredient in more than 25 years
-
WASHINGTON (AP) — Federal health regulators on Tuesday signed off on the
first new sunscreen ingredient for the U.S. market in more than 25 years,
giving A...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment