• HABARI MPYA

    Saturday, July 01, 2017

    MESSI 'ALIVYOHALALISHA' KIFAA CHAKE JANA KATIKA BONGE LA SHEREHE

    Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI 'ALIVYOHALALISHA' KIFAA CHAKE JANA KATIKA BONGE LA SHEREHE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top