Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha kwenye kapeti jekundu jana baada ya kufunga ndoa ya kifahari katika jengo la Rosario City Center mjini Rosario, Argentina. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Arngentina anayechezea klabu ya Barcelona ya Hispania amemuoa mpenzi wake wa tangu utotoni, ambaye tayari amezaa naye watoto wawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PLAYER RATINGS: Noni Madueke's energy sparked Chelsea's comeback while
Mykhailo Mudryk continued to frustrate... but which Blues defender had a
WORSE night with a 5/10 display?
-
Chelsea saw a last-gasp winner ruled out as they staged a second-half
fightback at Aston Villa to salvage a point. Mail Sport's DAN DAVIS has
rated the pla...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment