Beki Mbrazil, Dani Alves akiwa ameshika jezi namba 32 ya PSG ya Ufaransa mjini Paris leo wakati wa kukabidhiwa kufuatia kukamilisha uhamisho wake kama mchezaji huru kutoka Juventus ya Italia kwa mshahara wa Pauni £230,000 kwa wiki, sawa na Pauni Milioni 12 kwa mwaka. Awali, Alaves alitarajiwa kuungana na kocha wake wa zamani wa Barcelona ya Hispania, Pep Guardiola klabu ya Manchester City ya England, lakini dau zuri limembadili njia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot suggests that an agreement for him to take charge at Liverpool
hasn't yet been reached but insists he is 'confident that it will be done'
-
Arne Slot is expected to be announced as the successor to Jurgen Klopp at
Liverpool in the near future but the Feyenoord boss has suggested that
nothing ha...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment