• HABARI MPYA

    Thursday, June 01, 2017

    YAYA TOURE ASAINI MKATABA MPYA MAN CITY

    Kiungo wa Manchester City, Yaya Toure amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuichezea klabu hiyo ya Uwanja wa Etihad aliyojiunga nayo mwaka 2010 kutoka Barcelona ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YAYA TOURE ASAINI MKATABA MPYA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top