Mabeki wa Kagera Sugar wakimsubiri mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ainuke waendelee kumdhibiti katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Mei 9, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe hakufunga siku hiyo, ingawa Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Simon Msuva na Obrey Chirwa, wakati la Kagera lilifungwa na Mbaraka Yussuf
More revenue for Nigeria as crude hits over $100/barrel
-
Nigeria’s struggling revenue profile is set for a rise as Brent crude
yesterday, rose above $100 a barrel for the first time in nearly two
months, hittin...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment