![]() |
| Pamoja na baridi kali la huku, lakini kutokana na mazoezi makali, Joh Bocco 'Adebayor' anapoza koo |
![]() |
| Malika Ndeule anapiga mpira kumpasia Kipre Tchetche dhidi ya Gaudence Mwaikimba kushoto |
![]() |
| Meneja Msaidizi, Jemedari Said akipiga danadana kukumbushia enzi zake Uwanja wa Ilulu, Lindi akiichezea Kariakoo United. |
![]() |
| Makipa wa Azam na kocha wao, Iddi Abubakar mwenye jezi nyeupe wakiomba dua kabla ya kuanza mazoezi |
![]() |
| Kuusaka upepo; Wachezaji wa Azam wakikimbia kuuznguka Uwanja wa Prince Moulay Abdellah |
![]() |
| Sure Boy Jr. akijiandaa kuanza mazoezi |
![]() |
| Waingereza; Kocha Mkuu, Stewart Hall akijadiliana jambo na Msaidizi wake, Kali Ongala kabla ya kuanza mazoezi |
![]() |
| Kipre Tchetche na Himi Mao nyuma ndani ya basi wakitokea mazoezini |
![]() |
| Brian Umony kulia na Humphrey Mieno kushoto ndani ya basi |
![]() |
| Basi limefika Golden Tulip, hoeli ambayo imefikia Azam |
![]() |
| David Mwantika kulia akipiga mpira pembeni ya Kipre Balou |
![]() |
| Nje ya hoteli ya Giolden Tulip... |
![]() |
| Hayakuwa mazoezi ya kitoto... |
![]() |
| Wa nani huo? Seif Abdallah kulia, Mieno kushoto na Abdi Kassim 'Babbi' katikati |
![]() |
| Khamis Mcha 'Vialli' |
![]() |
| Kipa Mwadini Ally akidaka mpira wa juu |
![]() |
| John Bocco 'Adebayor' kulia akimiliki mpira pembeni ya Luckson Kakolaki |
![]() |
| Jabir Aziz akimiliki mpira pembeni ya John Bocco |






















.png)