Pamoja na baridi kali la huku, lakini kutokana na mazoezi makali, Joh Bocco 'Adebayor' anapoza koo |
Malika Ndeule anapiga mpira kumpasia Kipre Tchetche dhidi ya Gaudence Mwaikimba kushoto |
Meneja Msaidizi, Jemedari Said akipiga danadana kukumbushia enzi zake Uwanja wa Ilulu, Lindi akiichezea Kariakoo United. |
Makipa wa Azam na kocha wao, Iddi Abubakar mwenye jezi nyeupe wakiomba dua kabla ya kuanza mazoezi |
Kuusaka upepo; Wachezaji wa Azam wakikimbia kuuznguka Uwanja wa Prince Moulay Abdellah |
Sure Boy Jr. akijiandaa kuanza mazoezi |
Waingereza; Kocha Mkuu, Stewart Hall akijadiliana jambo na Msaidizi wake, Kali Ongala kabla ya kuanza mazoezi |
Kipre Tchetche na Himi Mao nyuma ndani ya basi wakitokea mazoezini |
Brian Umony kulia na Humphrey Mieno kushoto ndani ya basi |
Basi limefika Golden Tulip, hoeli ambayo imefikia Azam |
David Mwantika kulia akipiga mpira pembeni ya Kipre Balou |
Nje ya hoteli ya Giolden Tulip... |
Hayakuwa mazoezi ya kitoto... |
Wa nani huo? Seif Abdallah kulia, Mieno kushoto na Abdi Kassim 'Babbi' katikati |
Khamis Mcha 'Vialli' |
Kipa Mwadini Ally akidaka mpira wa juu |
John Bocco 'Adebayor' kulia akimiliki mpira pembeni ya Luckson Kakolaki |
Jabir Aziz akimiliki mpira pembeni ya John Bocco |