Wachezaji wa Real Madrid wakiwa na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-0 usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano dhidi ya Barcelona. Mabao ya Real iliyomkosa mshambuliaji wake nyota, Crustiano Ronaldo aliyeanza kutumikia adhabu ya mechi tano kufuatia kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa kwanza Camp Nou wiki iliyopita yamefungwa na Marco Asensio dakika ya nne na Karim Benzema dakika ya 39. Real ilishinda 3-1 kwenye mchezo na sasa inabeba Super Cup ya Hispania kwa ushindi wa jumla wa 5-1 dhidi ya timu ya Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Tottenham - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Reds look to reignite top four charge against relegation
threatened Spurs
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest updates as Liverpool
host Tottenham in the Premier League, with Lewis Steele and Ian Ladyman
reporting f...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment