Wachezaji wa Real Madrid wakiwa na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-0 usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano dhidi ya Barcelona. Mabao ya Real iliyomkosa mshambuliaji wake nyota, Crustiano Ronaldo aliyeanza kutumikia adhabu ya mechi tano kufuatia kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa kwanza Camp Nou wiki iliyopita yamefungwa na Marco Asensio dakika ya nne na Karim Benzema dakika ya 39. Real ilishinda 3-1 kwenye mchezo na sasa inabeba Super Cup ya Hispania kwa ushindi wa jumla wa 5-1 dhidi ya timu ya Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Giants' John Mara Expects to Retain Brian Daboll, Joe Schoen for 2025 NFL
Season
-
New York Giants owner John Mara emphatically stated Wednesday that the team
will not be moving on from general manager Joe Schoen and head coach Brian
Daboll…
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment