Wachezaji wa Real Madrid wakiwa na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-0 usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano dhidi ya Barcelona. Mabao ya Real iliyomkosa mshambuliaji wake nyota, Crustiano Ronaldo aliyeanza kutumikia adhabu ya mechi tano kufuatia kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa kwanza Camp Nou wiki iliyopita yamefungwa na Marco Asensio dakika ya nne na Karim Benzema dakika ya 39. Real ilishinda 3-1 kwenye mchezo na sasa inabeba Super Cup ya Hispania kwa ushindi wa jumla wa 5-1 dhidi ya timu ya Lionel Messi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua vs Jake Paul LIVE: Scorecard and round-by-round updates as
the former two-time heavyweight world champion controversially enters the
ring with YouTuber turned boxer
-
Follow all the action as Jake Paul and Anthony Joshua go head-to-head at
Miami's Kaseya Center in a blockbuster showdown being watched by more than
50 mill...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment