Kiungo mpya Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akikimbia peke yake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Gombani, Pemba. Tshishimbi aliyesajiliwa kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland amejiunga na wenzake kambini jana, hivyo amepewa programu maalum tofauti na wenzake kuelekea pambano la Ngao ya Hisani Jumatano dhidi ya mahasimu, Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Vikings GM Explains Strategy for J.J. McCarthy's Development After Kirk
Cousins Exit
-
The Minnesota Vikings selected Michigan quarterback J.J. McCarthy with the
No. 10 overall pick in the 2024 NFL draft on Thursday, and despite their
desperate…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment