Kiungo mpya Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akikimbia peke yake kwenye mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Gombani, Pemba. Tshishimbi aliyesajiliwa kutoka Mbabane Swallows ya Swaziland amejiunga na wenzake kambini jana, hivyo amepewa programu maalum tofauti na wenzake kuelekea pambano la Ngao ya Hisani Jumatano dhidi ya mahasimu, Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment