BAO la dakika za lala salama la Ricardo Vaz Te limeipa West Ham tiketi ya kurejea Ligi Kuu ya England, baada ya kuifunga Blackpool katika mchezo maalum wa kuwania nafasi ya mwisho ya kurejea kwenye ligi hiyo kutoka Championship (Daraja la Kwanza).
Matokeo yanamaanisha kocha Sam Allardyce ametimiza ahadi yake ya kuirejesha Ligi Kuu The Hammers.
Kikosi cha Allardyce kilipata bao la kuongoza kupitia kwa Carlton Cole lakini Thomas Ince - mtoto wa kiungo wa zamani wa Hammers, Paul - akasawazisha kipindi cha pili.
VIKOSI, KADI (1) & WALIOINGIA (5)
Blackpool
- 01 Gilks
- 03 Crainey
- 05 Eardley
- 06 Evatt
- 15 Baptiste
- 16 Ferguson
- 23 M Phillips
- 31 Angel (Dicko - 90' )
- 07 Dobbie (Bednar - 90' )
- 09 K Phillips (Sylvestre - 71' )
- 36 Ince
BENCHI
- 20 Cathcart
- 04 Southern
- 14 Sylvestre
- 32 Dicko
- 35 Bednar
West Ham United
- 01 Green
- 02 Reid
- 05 Tomkins
- 20 Demel (Faubert - 57' )
- 04 Nolan
- 10 Collison
- 14 Taylor
- 16 Noble
- 32 O'Neil (McCartney - 53' )
- 09 Cole
- 12 Vaz Te Booked
BENCHI- 13 Henderson
- 03 McCartney
- 18 Faubert
- 22 Lansbury
- 08 Maynar
d
Refa: H Webb
Waliohudhuria: 78,523


.png)
0 comments:
Post a Comment