Alejandro Sabella (Kocha wa Argentina)
KOCHA wa Argentina, Alejandro Sabella amewaacha kwenye kikosi chake Carlos Tevez, Esteban Cambiasso na Javier Zanetti kitakachocheza Brazil na Ecuador.
Wakati wachezaji maarufu kama Sergio Aguero na Lionel Messi wakiitwa kikosini, Tevez ametemwa kutokana na kuwa na msimu mbovu.
Wakati huo huo, pia ameitwa mchezaji Universidad ya Chile, Matias Rodriguez, ambaye anatarajia kuichezea kwa mara ya kwanza timu yake ya taifa, ingawa amekwishawahi kusema angependa kuichezea Chile.
Wakati wachezaji maarufu kama Sergio Aguero na Lionel Messi wakiitwa kikosini, Tevez ametemwa kutokana na kuwa na msimu mbovu.
Wakati huo huo, pia ameitwa mchezaji Universidad ya Chile, Matias Rodriguez, ambaye anatarajia kuichezea kwa mara ya kwanza timu yake ya taifa, ingawa amekwishawahi kusema angependa kuichezea Chile.
Argentina itaanza na Ecuador katika mechi za kuwania kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia kabla ya kumenyana na Brazil katika mechi ya kirafiki Juni 9.
| JINA | KLABU |
| Makipa: | |
| Sergio Romero | Sampdoria |
| Mabeki: | |
| Hugo Campagnaro | Napoli |
| Federico Fernandez | Napoli |
| Ezequiel Garay | Benfica |
| Marcos Rojo | Spartak Moscow |
| Pablo Zabaleta | Manchester City |
| Viungo: | |
| Fernando Gago | Roma |
| Pablo Guinazu | Internacional |
| Javier Mascherano | Barcelona |
| Matias Rodriguez | Universidad de Chile |
| Maxi Rodriguez | Liverpool |
| Jose Sosa | Metalist |
| Washambuliaji: | |
| Sergio Aguero | Manchester City |
| Gonzalo Higuain | Real Madrid |
| Ezequiel Lavezzi | Napoli |
| Angel Di Maria | Real Madrid |
| Lionel Messi | Barcelona |
| Eduardo Salvio | Atletico Madrid |


.png)
0 comments:
Post a Comment