• HABARI MPYA

    Wednesday, August 16, 2017

    LIVERPOOL YASHINDA UGENINI MCHUJO LIGI YA MABINGWA ULAYA

    James Milner (wa pili kushoto) akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Liverpool kumpongeza baada ya shuti lake kumbabatiza mchezaji wa Hoffenheim, Havard Nordtveit na kuingia nyavuni kuipatia timu yake bao la pili dakika ya 74 katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa WIRSOL Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Liverpool ilishinda 2-1 bao lake lingine likifungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 35, wakati la wenyeji lilifungwa na Mark Uth dakika ya 87 huku pia mshambuliaji wa zamani wa Leicester, Andrej Kramaric akiikosesha penalti na Hoffenheim, iliyookolewa kiulaini Simon Mignolet PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YASHINDA UGENINI MCHUJO LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top