Beki wa Rayon Sport ya Rwanda, Eric Rutanga (kushoto) akipambana na winga wa Simba SC, Shiza Kichuya katika mchezo wa kirafiki kwenye tamasha la Simba Day jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) wakionyeshana kazi
Hakika wawili hao walionyesha kweli wao ni vijana wadogo na wapo fiti
Lakini mwishowe, Eric Rutanga (kushoto) akaanza kumdhibiti kwa kumshika na kumkwida Shiza Kichuya
Shiza Kichuya alionyesha uimara wake kwa kuhakikisha pamoja na kuchezea rafu hapotezi mpira miguuni
Thomas Tuchel bites back at Bayern Munich chief Uli Hoeness' claims that he
'can't improve players', saying he is 'offended deeply as a coach' and
questions timing ahead of Real Madrid showdown
-
Tuchel (left) is due to leave in the summer and they are reportedly in
talks with Ralf Rangnick to replace him, but more than 17,000 fans have
signed a pet...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment