Beki wa Rayon Sport ya Rwanda, Eric Rutanga (kushoto) akipambana na winga wa Simba SC, Shiza Kichuya katika mchezo wa kirafiki kwenye tamasha la Simba Day jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) jana walionyeshana shughuli pevu katika dakika 45 za kipindi cha kwanza
Eric Rutanga (kushoto) na Shiza Kichuya (kulia) wakionyeshana kazi
Hakika wawili hao walionyesha kweli wao ni vijana wadogo na wapo fiti
Lakini mwishowe, Eric Rutanga (kushoto) akaanza kumdhibiti kwa kumshika na kumkwida Shiza Kichuya
Shiza Kichuya alionyesha uimara wake kwa kuhakikisha pamoja na kuchezea rafu hapotezi mpira miguuni
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment